Feb 5 2016 Bunge la 11 mkutano wa pili liliendelea Dodoma na Hotuba ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ndio ikahitimisha kwa kutoa kikao hicho. Moja ya kauli zilizowavutia wabunge wengi katika sentensi zake ni pale alipoahidi kuyatumbua Majipu ya watendaji kazi wote wazembe Serikalini.
Tayari nimekurahisishia kuipata hotuba yote kwa kukusogezea hapa chini
No comments:
Post a Comment