Rich Mavoko kayaandika haya maneno 65 kisha akamalizia ‘Tusidharauliane’



Ukiwa nnje inawezekana unaweza ona mchezo ni rahisi ila ukiwa ndani ya mchezo utajua ugumu wake kiukweli hatulali kwajili ya hii kitu natamani hata wewe unaetukanaga watu ungejua ugumu wa izi mambo ungeishia kuachia mdomo wazi sisi ni kati ya watu tunaosakamwa lakini bado tunajali uwepo wenu na kuwategemea ningependa kusema haya ni maisha ya kioo ila baada ya hapa uzee so lazima tulijue ilo… #tusidharuliane


Mavoko

No comments:

Post a Comment